Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 10:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 Baba mudogo wa Saulo alipowaona Saulo na mutumishi, akawauliza: “Mulikuwa wapi?” Saulo akajibu: “Tulikwenda kuwatafuta punda, na tulipoona hawapatikani, tulikwenda kumwona Samweli.”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 10:14
5 Referans Kwoze  

Muke wa Saulo aliitwa Ahinoamu binti ya Ahimasi. Jemadari wa makundi ya waaskari wa Saulo aliitwa Abeneri mwana wa Neri, baba mudogo wa Saulo.


Halafu Gehazi akaingia kwa Elisha na kuanza kumutumikia. Elisha akamwuliza: “Unatoka wapi?” Gehazi akajibu: “Sikuenda nafasi yoyote.”


Saulo alipomaliza kutabiri, alikwenda kwenye nafasi ya kuabudia.


Yule baba mudogo wa Saulo akamwambia: “Tafazali, uniambie kile Samweli alichokuambia.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite