Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 10:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Mutu fulani, mukaaji wa pahali pale, akasema: “Baba yao ni nani?” Hivyo kukatokea mezali inayosema: “Hata Saulo ni mumoja wa manabii?”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 10:12
7 Referans Kwoze  

Imeandikwa hivi katika maandiko ya manabii: ‘Wote watafundishwa na Mungu.’ Kila mutu anayemusikia Baba na kufuata mafundisho yake, anakuja kwangu.


Watu wako watafundishwa nami Yawe, wana wako watapata ustawi mwingi.


Kila zawadi nzuri na kila zawadi kamilifu inatoka juu kwa Mungu Baba aliyeumba miangaza yote inayokuwa katika mbingu. Mungu hawezi kubadilika wala kugeuka.


Yesu akawajibu: “Mafundisho ninayotoa si yangu, lakini ni ya yule aliyenituma.


Saulo alipomaliza kutabiri, alikwenda kwenye nafasi ya kuabudia.


Naye Saulo akaenda kule Nayoti katika muji wa Rama. Alipofika kule, Roho wa Mungu akamufikia, naye alianza kutabiri akiwa katika njia mpaka alipofika Nayoti katika muji wa Rama.


Alivua nguo zake, akatabiri mbele ya Samweli. Alibaki uchi kwa siku moja, muchana na usiku. Kwa hiyo watu walianza kujiuliza: “Hata Saulo ni mumoja wa manabii?”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite