Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 1:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Penina alikuwa akimuchokoza sana Hana kusudi amukasirikishe kwa sababu Yawe hakumujalia Hana watoto.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 1:6
8 Referans Kwoze  

Anayekataa kutendea mema rafiki yake, anakataa kumwogopa Mungu Mwenye Uwezo.


Waovu wanatesa wanawake wasiopata watoto wala hawawatendei vizuri wanawake wajane.


Usimwoe dada ya muke wako wakati muke wako angali anaishi, hiyo itasababisha mapigano.


Rakeli alipoona kwamba hajamuzalia Yakobo watoto, alimwonea Lea dada yake wivu, akamwambia Yakobo: “Unipatie watoto, kama sivyo, nitakufa.”


Mambo hayo yaliendelea kila mwaka. Kila mara Hana alipokwenda kwenye nyumba ya Yawe, Penina alimukasirikisha Hana hata Hana akalia na kukataa kula chochote.


Kisha, akamwambia baba yake: “Ninakuomba jambo hili moja, unipatie muda wa miezi miwili, niende na warafiki zangu kwenye milima, niomboleze kifo changu mbele ya kuolewa.”


Halafu Hana aliomba na kusema: Ninamushangilia Yawe ndani ya moyo wangu. Ninamutukuza Yawe anayekuwa nguvu yangu. Ninawachekelea waadui zangu; maana ninaufurahia wokovu wako.


Basi Mikali binti ya Saulo hakukuwa na mutoto mpaka kufa kwake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite