Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 1:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Nilimwomba anipe mutoto huyu, na yeye alinipa kile nilichomwomba.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 1:27
11 Referans Kwoze  

Basi, ikiwa tunajua kwamba anatusikiliza wakati tunapomwomba, tunajua vilevile kwamba anatupatia chochote tulichomwomba.


Katika taabu yangu nilimwomba Yawe, naye akanisikia na kuniweka huru.


“Muombe, nanyi mutapewa; mutafute, nanyi mutapata; mupige hodi, nanyi mutafunguliwa mulango.


Muondoke karibu nami, enyi wote watenda maovu! Maana Yawe amesikia kilio changu.


Eli aliwabariki Elekana na muke wake, akisema: “Yawe akupe wewe Elekana watoto wengine kwa mwanamuke huyu kusudi wakamate nafasi ya yule uliyemupa Yawe.” Kisha wao walirudi kwao.


Muda wote atakaokuwa munaziri atakuwa mutakatifu kwa Yawe.


Lakini Yebesi alimwomba Mungu wa Israeli akisema: “Ee Mungu, ninakusihi unibariki na kupanua mipaka yangu. Mukono wako ukuwe pamoja nami na unilinde kutokana na jambo lolote ovu, na mateso yasinipate.” Naye Mungu akamupa yale aliyoomba.


Wimbo wa safari za kidini. Katika taabu yangu nilimwita Yawe, naye akanijibu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite