Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 1:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 Usinizanie kuwa mimi ni mwanamuke asiyefaa kitu. Kwa muda wote huu nimekuwa nikisema mahangaiko yangu na taabu yangu.”

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 1:16
11 Referans Kwoze  

Wana wa Eli walikuwa wapotovu sana. Hawakumujali Yawe


Usimwangalie Nabali ambaye ni mutu mubaya. Maana jina lake la Nabali linamustahili. Yeye anaitwa Nabali; na kweli yeye ni mutu mupumbafu. Bwana wangu, wale vijana wako ulipowatuma, mimi mujakazi wako sikuwaona.


Lakini watu wengine wasiofaa kitu, walisema: “Mutu huyu anaweza kutuokoa?” Walimuzarau Saulo na hawakumupa zawadi yoyote. Lakini yeye hakukasirika.


“Mutakapoishi katika miji ambayo Yawe, Mungu wenu anawapa, labda mutasikia


Lakini Hana akamujibu: “Sivyo bwana wangu. Mimi ni mwanamuke mwenye taabu sana; mimi sijakunywa divai wala kinywaji kikali, lakini nimekuwa nikimutolea Yawe yanayokuwa ndani ya roho yangu.


Halafu Eli akamwambia: “Kwenda kwa amani; naye Mungu wa Israeli akupe kile ulichomwomba.”


Ee Mungu, tega sikio usikie maombi yangu; usiangalie pembeni ninapokuomba.


kwamba watu fulani wa ovyo ovyo kati yenu, wamewashawishi watu wa muji wakisema: ‘Twende tuabudu miungu mingine’, ambayo bado hamukujua,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite