14 Kwa hiyo Eli akamwambia: “Utaendelea kulewa mpaka wakati gani? Achana na kunywa divai.”
Mutupilie mbali nanyi nia zote za uadui, chuki, kasirani, fujo na masingizio. Mutupilie mbali ubaya wa kila namna!
Kwa hivi, muache uongo! Kila mumoja aseme ukweli kwa mwenzake, kwa maana sisi wote ni viungo vya mwili mumoja.
Ewe muvivu, utalala pale mpaka wakati gani? Utaamuka wakati gani katika usingizi wako?
Tenga mbali nawe luga potovu; wala midomo yako isiseme maneno madanganyifu.
Yeye peke yake ndiye kikingio na wokovu wangu, yeye ni kimbilio langu, sitatikisika.
Ukimurudilia Mungu na kunyenyekea, ukiondoa uovu mbali na makao yako,
Kama uovu uko katika mukono wako, uutupilie mbali. Usikubali ubaya ukuwe katika nyumba yako.
Utasema mambo haya mpaka wakati gani? Mpaka wakati gani maneno yako yatakuwa matupu kama upepo?
Wote wakapewa Roho Mutakatifu na kuanza kusema kwa luga mbalimbali kwa kadiri Roho alivyowawezesha kusema.
Lakini wengine waliwachekelea waamini, wakisema: “Watu hawa wamelewa kabisa.”