Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




1 Samweli 1:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Hana alikuwa akiomba kimoyomoyo, midomo yake ilikuwa inachezacheza, lakini sauti yake haikusikilika. Hivyo Eli akafikiri kwamba Hana amelewa.

Gade chapit la Kopi




1 Samweli 1:13
8 Referans Kwoze  

Na ni hivi vilevile Roho wa Mungu anatusaidia katika uzaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba sawa inavyopaswa. Lakini Roho wa Mungu yeye mwenyewe anatuombea kwa Mungu kwa kuugua kusikoweza kuelezwa.


Lakini wengine waliwachekelea waamini, wakisema: “Watu hawa wamelewa kabisa.”


Yawe wa majeshi atawalinda watu wake, nao watawaangamiza waadui zao. Watapiga kelele katika vita kama walevi, wataimwanga damu ya waadui zao. Itatiririka kama damu ya nyama wanaotolewa kwa sadaka iliyomiminwa juu ya mazabahu kutoka ndani ya bakuli.


Zaburi ya Daudi. Ee Yawe, ninakutolea moyo wangu.


Upendo hauchoki na mambo yote, unaamini mambo yote, unatumaini mambo yote na kuvumilia mambo yote.


Halafu mufalme Artasasta akanijibu: “Sasa unaomba nini?” Nikamwomba Mungu wa mbinguni.


Hana aliendelea kumwomba Yawe kwa muda murefu, na kuhani Eli akakuwa anaangalia midomo yake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite