Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Zefania 3:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Wakubwa wake ni simba wanaonguruma, waamuzi wake ni imbwa wa pori wenye njaa magaribi wasioacha chochote mpaka asubui.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Zefania 3:3
15 Iomraidhean Croise  

Mutawala mwovu anayetawala wamasikini ni kama simba anayenguruma au dubu anayeshambulia.


Wakubwa wako ni waasi; wanashirikiana na wizi. Kila mumoja anapenda kituliro, na kukimbilia zawadi. Hawamupatii yatima haki yake, haki za wajane si kitu kwao.


Waaskari wao wananguruma kama simba; wananguruma kama simba wakali ambao wamekamata nyama wao na kuwapeleka mbali ambapo hakuna anayeweza kuwanyanganya.


Lakini macho yako wewe na moyo wako, vinaelekea tu mapato yasiyokuwa ya haki. Unamwanga damu ya wasiokuwa na kosa, nawe unawatesa watu na kuwatendea kwa ukali.


Manabii na makuhani, wote hawamwogopi Mungu, uovu wao nimeuona hata ndani ya nyumba yangu. –Ni ujumbe wa Yawe.


Watu hao ndio hao wakubwa wa inchi ya Yuda, wakubwa wa muji Yerusalema, matowashi wa mufalme, makuhani, pamoja na wanainchi wote waliopita katikati ya sehemu mbili za yule mwana-ngombe.


Kwa hiyo simba kutoka pori atawaua; imbwa wa pori kutoka jangwa atawararua. Chui anaivizia miji yao. Kila mutu anayetoka humo atararuliwa vipandevipande, kwa sababu zambi zao ni nyingi, maasi yao ni makubwa.


Wakubwa wa Waisraeli wanaokuwa humo, kila mumoja kadiri ya nguvu zake anaua watu.


Munategemea silaha zenu, munafanya mambo ya kuchukiza na kila mwanaume kati yenu analala na muke wa jirani yake! Munazani kwamba mutapewa inchi hii ikuwe yenu?


Farasi wao ni wepesi kuliko chui, wakali kuliko imbwa wa pori wenye njaa. Waaskari wapanda-farasi wao wanatoka mbali, wanaruka mbio kama tai anavyorukia nyama.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan