Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Yuda 1:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Ijapokuwa mumekwisha kujua kabisa mambo haya yote, ninataka kuwakumbusha namna Bwana alivyowaokoa Waisraeli kutoka katika inchi ya Misri, lakini kisha, akawaangamiza wale waliokataa kuamini.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Yuda 1:5
14 Iomraidhean Croise  

Hivyo Mungu akainua mukono, akaapa kwamba atawaangamizia katika jangwa,


Siku hiyohiyo Yawe aliwatoa Waisraeli katika inchi ya Misri kwa makundi.


Lakini mara moja moja nimewaandikia kwa uhodari juu ya mambo fulani kusudi niwakumbushe tena mambo yale. Nimefanya vile kutokana na neema ile niliyopewa na Mungu


Lakini ingawa nilisema hayo yote, ninyi hamukumwamini Yawe, Mungu wenu,


Ni watu gani waliosikia maneno ya Mungu na kumwasi? Si wale wote walioongozwa na Musa toka katika inchi ya Misri?


Wapendwa wangu, hii ni sasa barua ya pili ninawaandikia. Katika barua hizi zote mbili nilitaka kuamusha ndani yenu mafikiri safi mupate kukumbuka mambo haya.


Lakini munajazwa na Roho Mutakatifu ambaye Kristo alimimia juu yenu, na kwa hiyo ninyi wote munajua ukweli.


Basi, sikuwaandikia kwa sababu hamujui ukweli, lakini kwa sababu munaujua na tena kwa sababu hakuna uongo wowote unaoweza kutokana na ukweli.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan