Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Yoshua 20:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Kisha Yawe akamwambia Yoshua,

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Yoshua 20:1
10 Iomraidhean Croise  

Yawe akamwambia Yoshua: “Simama! Mbona umejitupa chini hivyo?


Yawe akamwambia Yoshua: “Mimi nitautia katika mikono yako muji wa Yeriko pamoja na mufalme wake na waaskari wake shujaa.


Naye akamujibu: “Wala wenu wala wa waadui zenu! Lakini mimi ni jemadari wa jeshi la Yawe, na sasa nimefika.” Yoshua akainama chini kwa heshima, kisha akamwuliza: “Bwana wangu, unataka mimi mutumishi wako nifanye nini?”


Lakini kama hakukuwa amemuvizia, lakini ni kwa musiba, basi, yule mwuaji ataweza kukimbilia usalama pahali nitakapowachagulia.


Uwaambie Waisraeli kwamba wakati mutakapovuka muto Yordani na kuingia katika inchi ya Kanana,


Basi, kuhani Eleazari na Yoshua mwana wa Nuni, pamoja na viongozi wa makabila ya Waisraeli waligawanya sehemu hizo kwa kura mbele ya Yawe kwenye mulango wa hema ya kusanyiko kule Shilo. Basi, wakakamilisha kuigawanya inchi.


awaambie Waisraeli hivi: “Mujichagulie miji ambamo mutu anaweza kukimbilia usalama ambayo nilimwambia Musa akuelezee.


Yawe akaongea na Musa, akamwambia:


“Wakati Yawe, Mungu wenu, atakapoteketeza watu wale ambao anawapa ninyi inchi yao, na kisha kuitwaa na kuishi katika nyumba zao,


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan