Yoeli 3:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025 Halafu, watu wote watakaoomba kwa jina la Yawe wataokolewa. Katika mulima Sayuni na Yerusalema, kutakuwa watu watakaoponyoka, kama vile Yawe alivyosema: wale aliowachagua watabaki wazima. Faic an caibideil |