Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Yoeli 2:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Hakuna anayemusukuma mwenzake; kila mumoja anafuata njia yake. Wanapita kati ya vizuizi vya silaha, wala hakuna kinachoweza kuwazuia.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Yoeli 2:8
11 Iomraidhean Croise  

Hivyo anamukinga mutu asiangamie katika shimo, maisha yake yasiangamie kwa upanga.


Hezekia akajitia moyo, akajenga upya ukuta wote uliokuwa umebomoka, na juu yake akajenga minara. Upande wa inje, akajenga ukuta mwingine wa pili, na akaiimarisha uwanja wa Milo katika muji wa Daudi. Zaidi ya hayo akatengeneza silaha na ngao kwa wingi.


Machipukizi yako ni bustani ya mikomamanga pamoja na matunda bora kuliko yote, hina na nardo,


Lakini wasipomutii, wanaangamia kwa upanga, na kufa kwa kukosa akili.


Hivyo ikakuwa mimi, wandugu zangu, watumishi wangu hata na walinzi waliofuatana nami, hatukuvua nguo zetu; kila mumoja wetu akakuwa na silaha yake katika mukono siku zote.


Kisha, akawapanga watu wote kuanzia upande wa kusini mpaka upande wa kaskazini wa nyumba na kuzunguka mazabahu na nyumba, kila mumoja silaha yake katika mikono, kwa kumulinda mufalme.


Hawachoki wala hawajikwai; hawasinzii wala hawalali; hakuna mukaba wao uliofunguka wala kamba ya kiatu iliyokatika.


Wanashambulia kama mashujaa wa vita; wanapanda juu ya kuta kama waaskari. Wote wanakwenda mbele moja kwa moja, bila hata mumoja wao kubadilisha njia.


Wanashambulia muji, wanakimbia juu ya ukuta; wanapanda juu ya nyumba na kuingia, wanapenya katika madirisha kama wezi.


nzige hawana mufalme, lakini wote wanaenda pamoja kwa vikundi;


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan