Wafilipi 3:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Mufanye angalisho na watenda maovu, wale imbwa wanaotia mukazo juu ya kushika tu desturi ya kutahiriwa. Faic an caibideil |
Maana kuna watu wasiomuheshimu Mungu waliojiingiza kwa siri kati yetu. Watu hawa wanapotosha ujumbe wa neema ya Mungu wetu kusudi wapate kufanya uasherati na kumukana Yesu Kristo, anayekuwa peke yake Kiongozi na Bwana wetu. Tangia zamani Maandiko Matakatifu yamejulisha hukumu ile itakayowapata watu hawa.