Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Waebrania 7:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Basi tunaweza kusema hivi: wakati Abrahamu alipotoa fungu la kumi la mali yake, Lawi vilevile alilitoa kupitia yeye.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Waebrania 7:9
7 Iomraidhean Croise  

Atukuzwe Mungu Mukubwa, aliyetia waadui zako katika mikono yako!” Naye Abramu akamupa Melkisedeki sehemu moja ya kumi ya vitu vyote alivyokuwa navyo.


Kwa maana kila mutu anayeomba, anapewa; naye anayetafuta, anapata, naye anayepiga hodi, anafunguliwa.


Kwa njia ya mutu mumoja zambi iliingia katika dunia, nayo zambi ikaleta kifo. Ni hivi vilevile kifo kimefikia watu wote, kwa sababu wote wamefanya zambi.


Kila nyuma ya miaka mitatu, kila mumoja wenu atatoa sehemu ya kumi ya mazao yake yote kwa ajili ya Walawi na wageni, wayatima na wajane, kusudi wapate chakula chote wanachohitaji wanapokuwa katika miji yenu.


Kwa maana ingawa Lawi alikuwa hajazaliwa bado, alikuwa yuko ndani ya damu ya babu yake Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye.


Basi muangalie namna mutu huyu alivyokuwa mukubwa, hata babu yetu mukubwa Abrahamu alimupa fungu moja la kumi la vitu vyote alivyoteka katika vita.


Wale makuhani wanaopokea fungu la kumi ni watu wanaokufa; lakini Melkisedeki aliyepokea fungu la kumi anashuhudiwa kwamba anaishi.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan