Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Waebrania 3:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Basi nikaapa kwa kasirani kwamba hawataingia kwenye mapumziko niliyowatayarishia!”

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Waebrania 3:11
13 Iomraidhean Croise  

Lakini sasa sisi tulioamini, tutaingia kwenye mapumziko ambayo Mungu alitaja aliposema: “Halafu nikaapa kwa kasirani kwamba hawataingia hata kidogo kwenye mapumziko niliyowatayarishia!” Mungu alisema vile ingawa alikuwa amemaliza kazi zake tangu pale alipoumba dunia.


Miaka makumi tatu na nane ilikuwa imepita tangu kuondoka Kadesi-Barnea mpaka kuvuka kijito Zeredi. Wakati huo, wote wenye umri wa kwenda kwa vita waliotoka Misri walikuwa wamekwisha kufa, kulingana na jinsi Yawe alivyowaapia.


Kwa hiyo kungali mapumziko ambayo Mungu anawatayarishia watu wake.


Na tena, katika Maandiko tuliyotaja hapa juu, Mungu anasema: “Hawataingia hata kidogo kwenye mapumziko niliyowatayarishia.”


Basi, nikaapa kwa kasirani kwamba hawataingia kwenye mapumziko niliyowatayarishia.”


Mimi Yawe nimesema: Hakika nitawatendea hivyo ninyi wote muliokusanyika hapa kwa kunipinga. Wote wataishia humuhumu katika jangwa na ni humu watakamokufia.


Kwa sababu Waamaleki na Wakanana wanakaa katika mabonde ya inchi hiyo, kesho mugeuke nyuma muende katika jangwa kuelekea bahari ya Shamu.


Hivyo Mungu akainua mukono, akaapa kwamba atawaangamizia katika jangwa,


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan