Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Nehemia 8:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Ezra akasimama kwenye mimbari mbele ya watu wote, nao wakakuwa wanamukazia macho yao kwa utulivu mukubwa. Mara tu Ezra alipokifungua kitabu cha Sheria, watu wote wakasimama wima.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Nehemia 8:5
6 Iomraidhean Croise  

Halafu Solomono akasema: “Yawe alisema kwamba atakaa katika giza nene.


Kisha, Solomono akawaelekea Waisraeli wote walipokuwa wakisimama, akawabariki,


Kisha Ezra akawasomea watu wote wanaume na wanawake na yeyote aliyeweza kuelewa Sheria ya Musa akiwa mbele ya Mulango wa Maji tangu asubui mpaka saa sita za muchana. Watu wote wakatega masikio yao na kusikiliza kwa uangalifu kitabu cha Sheria.


Ezra, mwandishi, alikuwa akisimama kwenye mimbari ya mbao iliyotengenezwa kwa kusudi lile; na kwenye mukono wake wa kuume watu hawa walikuwa wakisimama: Matitia, Sema, Anaya, Uria, Hilkia na Masea; na kwenye mukono wake wa kushoto kulikuwa kunasimama watu hawa: Pedaya, Misaeli, Malkiya, Hasumu, Hasubadana, Zakaria na Mesulamu.


Naye Ehudu akamukaribia pale alipokaa katika chumba chake chenye baridi katika baraza, akamwambia: “Nina ujumbe wako kutoka kwa Mungu.” Mufalme akasimama toka juu ya kiti chake.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan