Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Nehemia 8:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Ezra, mwandishi, alikuwa akisimama kwenye mimbari ya mbao iliyotengenezwa kwa kusudi lile; na kwenye mukono wake wa kuume watu hawa walikuwa wakisimama: Matitia, Sema, Anaya, Uria, Hilkia na Masea; na kwenye mukono wake wa kushoto kulikuwa kunasimama watu hawa: Pedaya, Misaeli, Malkiya, Hasumu, Hasubadana, Zakaria na Mesulamu.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Nehemia 8:4
16 Iomraidhean Croise  

Solomono alikuwa ametengeneza mimbari ya shaba ambayo aliweka katikati ya kiwanja. Urefu na upana wake ulikuwa metre mbili na sentimetre makumi mbili na tano, na urefu kwenda juu metre moja na sentimetre makumi mbili na tano. Akapanda juu ya mimbari na kupiga magoti mbele ya watu wote wa Israeli, akainua mikono yake kuelekea mbinguni.


Wazao wa Bani: Mesulamu, Maluki, Adaya, Yasubu, Seali na Yeremoti.


Wazao wa Hasumu: Matenayi, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremayi, Manase na Simei.


Maseya mwana wa Baruku mwana wa Koli-Hoze mwana wa Hazaya mwana wa Adaya mwana wa Yoyaribu mwana wa Zekaria, Mushilo.


Watu wa ukoo wa Benjamina waliokaa katika Yerusalema ni: Salu, mwana wa Mesulamu mwana wa Yoedi mwana wa Pedaya mwana wa Kolaya mwana wa Maseya mwana wa Itieli na mwana wa Yesaya.


Kisha Ezra akawasomea watu wote wanaume na wanawake na yeyote aliyeweza kuelewa Sheria ya Musa akiwa mbele ya Mulango wa Maji tangu asubui mpaka saa sita za muchana. Watu wote wakatega masikio yao na kusikiliza kwa uangalifu kitabu cha Sheria.


Ezra akasimama kwenye mimbari mbele ya watu wote, nao wakakuwa wanamukazia macho yao kwa utulivu mukubwa. Mara tu Ezra alipokifungua kitabu cha Sheria, watu wote wakasimama wima.


Kwa muda wa yapata saa tatu, walisimama wakati Sheria ya Yawe, Mungu wao, ikisomwa. Na kwa saa tatu zilizofuata, walikuwa wakitubu na kumwabudu Yawe, Mungu wao.


Kuliwekwa daraja la Walawi; pale kulisimama Yesua, Bani, Kadimieli, Sebania, Buni, Serebia, Bani na Kenani. Wakamwomba kwa sauti kubwa Yawe, Mungu wao.


“Walimu wa Sheria na Wafarisayo wamepewa madaraka ya kueleza Sheria ya Musa.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan