8 ukoo wa Parosi: elfu mbili mia moja makumi saba na wawili;
Kati ya watu wengine wa Israeli kulikuwa: Wazao wa Parosi: Ramia, Izia, Malkia, Miyamini, Eleazari, Malkia na Benaya.
wa ukoo wa Parosi: elfu mbili mia moja makumi saba na wawili;
Waliporudi waliongozwa na Zerubabeli, Yesua, Nehemia, Azaria, Ramia, Nahamani, Mordekayi, Bilsani, Misipereti, Bigwayi, Nehumu na Bana. Hii ndiyo jumla ya watu wa ukoo za Waisraeli waliorudi toka katika uhamisho:
ukoo wa Sefatia: mia tatu makumi saba na wawili;