Nehemia 7:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Wale waliokuwa katika uhamisho kule Babeli, walirudi Yerusalema na katika inchi ya Yuda, kila mumoja akarudi katika muji wake. Jamaa zao walikuwa wamekaa Babeli tangu mufalme Nebukadneza alipowahamishia kule wakiwa watumwa. Faic an caibideil |