Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Nehemia 7:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 nikawaagiza: “Milango isifunguliwe usiku kucha mpaka jua linapokuwa limepanda. Mbele ya kuondoka kwa walinzi ni lazima kufunga milango yote kwa vifungio vyake. Muchague walinzi kati ya wakaaji wa muji wa Yerusalema, kila mumoja akuwe kwa nafasi yake kuelekeana na nyumba yake.”

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Nehemia 7:3
8 Iomraidhean Croise  

Halafu, nikaamuru kwamba milango ya Yerusalema ifungwe wakati siku ya Sabato inapoanza magaribi, wakati giza linapoanza kuingia, na isifunguliwe mpaka Sabato imekwisha. Nikaweka watumishi wangu wamoja kwenye milango na kuwaagiza kwamba kitu chochote kisiletwe katika muji siku ya Sabato.


Benjamina na Hasubu wakajenga upya sehemu inayoelekeana na nyumba yao. Azaria mwana wa Masea, mujukuu wa Anania, akajenga upya sehemu inayoelekeana na nyumba yao.


nikamuchagua ndugu yangu Hanani kuwa mwangalizi wa Yerusalema akishirikiana na Hanania aliyekuwa jemadari wa waaskari walinzi wa munara katika Yerusalema; kwa sababu alikuwa mutu wa kutegemewa na anayemwogopa sana Mungu, hapakukuwa mwingine aliyelingana naye,


Muji wa Yerusalema ulikuwa mupana na mukubwa, lakini wakaaji wake walikuwa wachache na nyumba zilikuwa hazijajengwa.


Wimbo wa safari za kidini: wa Solomono. Yawe asipoijenga nyumba, wanaoijenga wanajisumbua bure. Yawe asipoulinda muji, wanaoulinda wanakesha bure.


Maana yeye alikaza vifungio vya milango ya kuta zako, anawabariki watu wanaokuwa ndani yako.


“Muangalie! Ninawatuma kama kondoo katikati ya imbwa wa pori. Basi mukuwe waangalifu kama nyoka na wakamilifu kama njiwa.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan