3 Basi, nikawatumia wajumbe, nikisema: “Kazi ninayoifanya ni ya lazima sana. Hivyo siwezi kufika kwenu kusudi kazi isipate kusimama.”
Nikawaambia wakubwa, wasimamizi na watu wote kwa jumla: “Kazi ni kubwa, na kuna hatua kubwa kati ya mutu na mwenzake juu ya ukuta.
Sanibalati na Gesemi wakatuma ujumbe kwangu wakisema: “Tukutane kwenye kijiji kimoja katika bonde la Ono.” Lakini walikusudia kunizuru.
Wakaendelea kunitumia ujumbe uleule mara ine, lakini nikawapa jibu lilelile.
Mujinga anaamini kila kitu anachoambiwa, lakini mwenye akili anachunguza hatua zake zote.
Kila kitu unachotaka kufanya ukifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima kule katika kuzimu unakokwenda.
“Muangalie! Ninawatuma kama kondoo katikati ya imbwa wa pori. Basi mukuwe waangalifu kama nyoka na wakamilifu kama njiwa.
wakisema: ‘Mutu huyu alianza kujenga, lakini hakuweza kumaliza!’
Imetupasa kufanya kazi za yule aliyenituma wakati kungali muchana, kwa sababu usiku unakaribia, wakati mutu asipoweza kutumika.