Nehemia 5:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200215 Watawala walionitangulia walikuwa muzigo muzito kwa watu wakiwadai chakula na divai. Zaidi ya hiyo waliwalipisha vikoroti makumi ine vya feza. Hata watumishi wao waliwatesa watu. Lakini, mimi sikufanya hivyo, maana nilimwogopa Mungu. Faic an caibideil |