Nehemia 3:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
6 Mulango wa zamani; ukajengwa upya na Yoyada mwana wa Pasea, pamoja na Mesulamu mwana wa Besodia, wakatia miimo yake, milango, vyuma na vifungio vyake.
Na kutoka pale, tukapitia kwenye Mulango wa Efuraimu, Mulango wa Yesana, Mulango wa Samaki, Munara wa Hananeli, Munara wa Mia moja mpaka kwenye Mulango wa Kondoo. Tulimalizia maandamano yetu kwenye Mulango wa Walinzi.