Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Nehemia 3:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Meremoti mwana wa Uria, mujukuu wa Hakosi. Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Mesulamu mwana wa Berekia, mujukuu wa Mesezabeli. Sehemu inayofuata ikajengwa upya na Zadoki mwana wa Bana.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Nehemia 3:4
11 Iomraidhean Croise  

Watu wa ukoo hizi za makuhani vilevile walirudi: ukoo wa Habaya, wa Hakosi na wa Barzilayi. Huyo Barzilayi alikuwa ameoa binti ya Barzilayi wa Gileadi, naye vilevile akaitwa Barzilayi.


Katika siku ya ine, tukiwa ndani ya nyumba ya Mungu wetu, tukapima ile feza, zahabu na vile vyombo, kisha tukavipatia kuhani Meremoti mwana wa Uria. Meremoti alikuwa pamoja na Eleazari mwana wa Finehasi, na Walawi wawili, Yozabadi mwana wa Yesua, na Noadia mwana wa Binui.


Viongozi wa watu: Parosi, Pahati-Moabu, Elamu, Zatu, Bani, Buni, Azgadi, Bebayi, Adonia, Bigwayi, Adini, Ateri, Hezekia, Azuri, Hodia, Hashumu, Bezayi, Harifu, Anatoti, Nobayi, Magipiasi, Mesulamu, Hesiri, Mesezabeli, Zadoki, Yadua, Pelatia, Hanani, Anaya, Hosea, Hanania, Hasubu, Halohesi, Pileha, Sobeki, Rehumu, Hasabuna, Maseya, Ahia, Hanani, Anani, Maluku, Harimu na Bana.


Sehemu inayofuata tangia kwenye mulango wa nyumba ya Eliasibu, Kuhani Mukubwa, mpaka mwisho wa nyumba hiyo, ikajengwa upya na Meremoti mwana wa Uria, mujukuu wa Hakosi.


Nao watu wa ukoo wa Hasena wakajenga upya Mulango wa Samaki, wakatia miimo yake, milango, vyuma na vifungio vyake.


Sehemu inayofuata ikiwa ni sehemu yao ya pili ikajengwa upya na Hanania mwana wa Selemia, akishirikiana na Hanuni mwana wa sita wa Zalafi. Mesulamu mwana wa Berekia, akajenga upya sehemu inayoelekeana na chumba chake.


Sehemu inayofuata ikajengwa na watu kutoka muji wa Tekoa. Lakini viongozi wa muji wakakataa kufanya kazi ya mikono waliyoagizwa kufanya na wasimamizi.


Wengi kati ya Wayuda walishirikiana naye kutokana na kiapo chao maana alikuwa mukwe wa Sekania mwana wa Ara. Zaidi ya yote, Yehohanani mwana wake, alikuwa amemwoa binti Mesulamu mwana wa Berekia.


Wazao wa ukoo hizi zinazofuata za makuhani vilevile walirudi: ukoo wa Hobaya, wa Hakosi na wa ukoo wa Barzilayi (aliyekuwa ameoa wabinti za Barzilayi, Mugileadi, naye akatwaa jina la ukoo ule.)


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan