Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Nehemia 3:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Mulango wa Bonde ukajengwa upya na Hanuni pamoja na wakaaji wa muji wa Zanoa. Wakaweka milango pahali pake, wakatia vyuma na vifungio vyake. Wakajenga upya ukuta ukiwa na urefu wa metre mia ine hivi mpaka kwenye mulango wa Yalala.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Nehemia 3:13
7 Iomraidhean Croise  

Meredi alikuwa na muke mwingine Muyuda. Huyu akamuzalia: Yeredi, mwanzilishi wa muji wa Gedori, Heberi, mwanzilishi wa muji wa Soko, na Yekutieli, mwanzilishi wa muji wa Zanoa.


Tena Uzia akajenga minara ya kukinga muji kwenye milango tatu ya Yerusalema na kuiimarisha.


Zanoa na Adulamu pamoja na vijiji vilivyoizunguka, Lakisi na mashamba yanayouzunguka, na katika Azeka pamoja na vijiji vinavyouzunguka. Hii ina maana kwamba watu wa Yuda walikaa katika eneo linalokuwa kati ya Beri-Seba upande wa kusini na Bonde la Hinomu upande wa Kaskazini.


Nikatoka nikipitia kwenye Mulango wa Bonde katika njia inayoelekea kwenye Kisima cha Joka na mulango wa Yalala; nikachunguza kuta za muji wa Yerusalema ambazo zilikuwa zimebomolewa pamoja na milango yake ambayo ilikuwa imeteketezwa kwa moto.


Wakati ule wa usiku, nikapitia katika bonde na kuchunguza ukuta wa muji. Nikarudi nikipitia kwa Mulango wa Bonde.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan