Nehemia 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Mufalme akaniuliza (malkia akiwa karibu naye): “Utakuwa kule kwa muda gani na utarudi hapa wakati gani?” Ombi langu akalikubali nami nikamujulisha wakati nitakaporudi. Faic an caibideil |
Basi, ujue na kufahamu jambo hili: tangu wakati amri itakapotolewa ya kujengwa upya Yerusalema mpaka kuja kwa yule aliyepakwa mafuta, yule anayekuwa mukubwa, ni muda wa majuma saba. Kwa muda wa majuma makumi saba na mawili, Yerusalema utajengwa upya, wenye barabara kubwa na kuta, lakini wakati huo utakuwa wa taabu.