Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Nehemia 2:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kisha nikaondoka usiku, mimi pamoja na watu wachache; sikumwambia mutu yeyote yale ambayo Mungu alikuwa ameyaweka ndani ya moyo wangu kwa ajili ya Yerusalema. Lakini siku moja usiku, nikaondoka na kutwaa watu wachache tu. Sikupeleka nyama yeyote isipokuwa punda niliyepanda juu yake mimi mwenyewe.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Nehemia 2:12
20 Iomraidhean Croise  

Ezra akasema: “Asifiwe Yawe, Mungu wa babu zetu, ambaye amemupatia mufalme moyo wa kupamba nyumba ya Yawe inayokuwa Yerusalema.


Hivyo nikafika Yerusalema, nikakaa kule kwa siku tatu.


Nikatoka nikipitia kwenye Mulango wa Bonde katika njia inayoelekea kwenye Kisima cha Joka na mulango wa Yalala; nikachunguza kuta za muji wa Yerusalema ambazo zilikuwa zimebomolewa pamoja na milango yake ambayo ilikuwa imeteketezwa kwa moto.


Muuombee Yerusalema amani mukisema: “Wote wanaokupenda wakae katika amani!


Kweli wewe haupendezwi na sadaka. Hautaki nikutolee sadaka za kuteketezwa.


Mutu mwerevu anaficha maarifa yake, lakini wapumbafu wanatangaza upumbafu wao.


wakati wa kupasua na wakati wa kushona, wakati wa kukaa kimya na wakati wa kusema,


Kisha siku hizo, nitafanya agano hili na Waisraeli. Nitaiweka sheria yangu ndani yao, na kuiandika katika mioyo yao. Mimi nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. Ni mimi Yawe ninayesema hivyo.


Nitafanya nao agano la milele, kwamba sitaacha kuwatendea mema hata kidogo; nitaweka ndani ya mioyo yao utii kwa ajili yangu kusudi wasiniache tena.


Basi, kutakuwa wakati mubaya ambao hata mwenye hekima atanyamaza.


Usimwaminie mwenzako, wala usimutumainie rafiki yako. Chunga mudomo wako, usimwambie kitu muke wako wewe mwenyewe.


“Muangalie! Ninawatuma kama kondoo katikati ya imbwa wa pori. Basi mukuwe waangalifu kama nyoka na wakamilifu kama njiwa.


Basi Yosefu akaamuka, akamutwaa mutoto pamoja na mama yake, nao wakaondoka usiku ule kwenda Misri.


Shukrani kwa Mungu aliyemutia Tito bidii ya kuwasaidia kama vile sisi tunavyokuwa nayo!


Nyuma ya kutembea kutoka Gilgali usiku kucha, Yoshua akawatokea kwa rafla.


Kwa maana Mungu ametia ndani yao nia ya kuwasukuma kutimiza shabaha yake nao wapate kufikia shauri moja na kumupa yule nyama madaraka yao ya kifalme mpaka maneno ya Mungu yatimie.


Basi, Gideoni akatwaa watumishi wake kumi, akafanya kama vile alivyoagizwa na Yawe. Lakini kwa sababu aliiogopa jamaa yake na watu wa muji, pahali pa kufanya hayo muchana, akayafanya wakati wa usiku.


Basi, rudi wewe na watu unaokuwa nao, wakati wa usiku, uvizie katika mashamba karibu na muji.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan