Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Nehemia 13:27 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

27 Basi, sasa tufuate mufano wenu na tutende zambi hii kubwa ya kutomutii Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni?”

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Nehemia 13:27
5 Iomraidhean Croise  

Halafu Sekania mwana wa Yehieli, wa ukoo wa Elamu, akamwambia Ezra: “Tumekosa uaminifu kwa Mungu kwa kuoa wanawake wa kigeni wa inchi hii, lakini hata hivyo bado kuna tumaini kwa ajili ya Israeli.


Tutavunja amri zako tena na kuoana na watu hawa wanaotenda maovu haya? Hautatukasirikia na kutuangamiza kabisa, na kusibaki hata mumoja wetu muzima wala yeyote wa kutoroka?


Wabinti zetu hatutawaoesha kwa watu wa inchi hii na wala wana wetu hawataoa kwao.


Tena wakati ule nikaona Wayuda waliooa wanawake toka Asidodi, Amoni na Moabu;


Hakuna mutu atakayekubaliana na mawazo yenu! Yule aliyekwenda katika vita na yule aliyebaki na mizigo yetu, kila mutu atapewa sehemu inayolingana na ya mwenzake.”


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan