Nehemia 11:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Watu wamoja wa kabila la Yuda na wa kabila la Benjamina walikaa katika Yerusalema: Hawa ndio watu wa ukoo wa Yuda waliokaa Yerusalema: Ataya mwana wa Uzia, mujukuu wa Zakaria mwana wa Amaria mwana wa Sefatia mwana wa Mahalaleli wa uzao wa Peresi; Faic an caibideil |