Nehemia 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Lakini mukinirudilia, mukishika amri zangu na kuzifuata hata ingawa nitakuwa nimewatawanya mbali kabisa, nitawarudisha pahali nilipochagua kuwa pahali pangu pa kuabudiwa.’ Faic an caibideil |