Nehemia 1:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Hanani, mumoja wa wandugu zangu, akakuja pamoja na sehemu ya watu toka katika inchi ya Yuda. Nikawauliza juu ya Wayuda wenzetu walioponyoka, ni kusema ambao hawakuhamishiwa Babeli na juu ya Yerusalema. Faic an caibideil |