Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 9:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Upendo wao, chuki zao na tamaa zao, vyote vimetoweka pamoja nao, wala hawatashiriki tena katika kitu chochote hapa chini ya jua.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 9:6
11 Iomraidhean Croise  

Basi, kukatokea mufalme mwingine kule Misri ambaye hakumujua Yosefu.


Tumaini la mwenye haki linaleta furaha, lakini tazamio la mwovu linapotea bure.


Kila kitu macho yangu yalichokitamani nilikipata. Moyo wangu sikuunyima raha yoyote. Moyo wangu ulifurahia mambo niliyotenda, na hii ilikuwa zawadi ya jasho langu.


Basi, nikatambua kwamba hakuna jambo linalokuwa bora zaidi kwa mwanadamu kufanya kuliko kufurahia kazi yake, kwa sababu amepangiwa hivyo. Nani anayeweza kumujulisha mwanadamu yale yatakayokuwa kisha kufa kwake?


Nani anayejua yanayofaa kwa mutu katika maisha haya mafupi yasiyokuwa na faida, maisha ambayo yanapita kama kivuli? Nani anayejua yale yatakayotukia chini ya jua nyuma ya kufa kwake?


Nilifikiri sana juu ya hayo yote, nikaona kwamba Mungu anaongoza matendo ya watu wenye hekima na wenye haki; ikiwa ni upendo au chuki, mwanadamu hajui. Kila kitu kwao ni bure,


Nilisema sitamwona tena Yawe, katika inchi ya wanaokuwa wazima; wala sitamwona mutu yeyote tena, kati ya wakaaji wa ulimwengu.


Akamwambia: “Amuka, utwae mutoto pamoja na mama yake, na urudie nao katika inchi ya Israeli, kwa maana wale waliotafuta kumwua wamekwisha kufa.”


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan