Muhubiri 9:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Mutu hajui saa yake itafika wakati gani. Kama vile samaki wanavyonaswa katika wavu kwa bahati mbaya, na kama vile ndege wanavyonaswa katika mutego kwa rafla, ndivyo wanadamu wanavyonaswa na hasara inapowaangukia bila kutazamia. Faic an caibideil |