Muhubiri 8:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200217 lakini hataelewa kazi ya Mungu inayofanyika chini ya jua. Mutu anaweza kutoa jasho sana lakini hataelewa. Wenye hekima wanaweza kujidai kwamba wanajua, lakini, kwa kweli, hawajui. Faic an caibideil |