Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 7:29 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

29 Nimetambua jambo hili moja: kwamba Mungu aliwaumba wanadamu wenye usawa, lakini wao wenyewe wamejitafutia matatizo.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 7:29
20 Iomraidhean Croise  

Hiki ndicho kitabu cha uzao wa Adamu. Wakati Mungu alipowaumba wanadamu, aliwaumba kwa mufano wake.


Waliichochea hasira ya Yawe kwa matendo yao, magonjwa makali yakatokea kati yao.


Hivyo wakajichafua kwa matendo yao, wakakosa uaminifu kwa Mungu kama wazini.


Ee Yawe, Mungu wetu, wewe uliwasikiliza; ulikuwa kwao Mungu mwenye kusamehe, ingawa uliwaazibu kwa makosa yao.


Nani anayekuwa kama mwenye hekima? Nani anayejua maana ya kila kitu? Hekima inaangarisha uso wa mutu, inaondoa alama za upumbafu.


Yawe anasema: Watu wangu ni wapumbafu, hawanijui mimi. Wao ni watoto wajinga; hawana ufahamu. Wao wanaelewa vizuri kutenda maovu, lakini hawajui kutenda mema.


Uliishi maisha makamilifu tangu siku ile ulipoumbwa, mpaka wakati ulipoanza kufanya uovu.


Kwa maana zamani sisi vilevile tulikuwa wajinga, waasi na wapotovu. Tulikuwa tumetawaliwa na kila namna ya tamaa mbaya na ya vitu mbalimbali vilivyotuvuta sana. Tuliishi katika uovu na wivu, tuliwachukiza watu nao walituchukia.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan