Muhubiri 7:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200226 Jambo moja nililotambua linalokuwa baya zaidi kuliko kifo, ni mwanamuke ambaye moyo wake ni mutego na wavu, na mikono yake ni kama minyororo. Lakini anayemupendeza Mungu anamwepuka mwanamuke yule, lakini mwenye zambi ananaswa naye. Faic an caibideil |