Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 7:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Lakini vilevile, usikuwe mwovu sana wala usikuwe mupumbafu! Kwa nini kufa mbele ya wakati wako?

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 7:17
15 Iomraidhean Croise  

Daudi aliporudi kwake kwa kuibariki jamaa yake, Mikali, binti ya Saulo, alikwenda kumupokea, akasema: “Ni ajabu kwa mufalme wa Waisraeli kujiheshimu leo, kwa kujifunua uchi wake mbele ya watumishi wake na wajakazi wake sawa vile mushenzi anavyovua nguo zake mbele ya watu bila haya!”


Hao walifagiliwa mbele ya wakati wao, misingi yao imepelekwa mbali na maji.


Utue muzigo wako kwa Yawe, naye atakusaidia; hamwachilii mutu wa haki ashindwe.


Kumwogopa Yawe kunarefusha maisha, lakini miaka ya waovu itakuwa mifupi.


Tena, wana wako na wabinti zako ulionizalia uliwatwaa, ukawatambikia kwa sanamu zako wapate kukuliwa. Unazani uzinzi wako ulikuwa ni jambo dogo?


Mungu akaniambia: Wewe mwanadamu, umeyaona mambo hayo? Hata hivyo, watu wa Yuda wanaona machukizo hayo kuwa ni kidogo. Wanajaza mateso makali katika inchi na kuzidi kunikasirikisha. Angalia jinsi wananichukiza!


Na pale pale malaika wa Bwana akamwazibu Herode kwa ugonjwa kwa sababu alijitukuza kwa pahali pa Mungu. Herode akakuliwa na michango ya tumbo na kisha akakufa.


Lakini Paulo akalalamika kwa nguvu akisema: “Usijiue, kwa maana sisi wote tuko hapa!”


Mara moja Safira akaanguka chini mbele ya Petro na kufa. Halafu wale vijana wakaingia ndani, wakamukuta amekwisha kufa. Basi wakamubeba mbali na muji na kumuzika kule karibu na mume wake.


Anania aliposikia maneno hayo, mara moja akaanguka chini na kufa. Na wote waliosikia habari ile wakashikwa sana na woga.


Kwa sababu hiyo, mutupilie mbali mambo yote machafu na matendo ya uovu yanayozidi. Mupokee kwa unyenyekevu neno lile lililopandwa ndani yenu na linaloweza kuwaokoa.


Kisha siku kumi, Yawe alimupiga Nabali akakufa.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan