Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 7:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Sifa nzuri ni bora kuliko marasi ya bei kali. Siku ya kufa ni bora kuliko siku ya kuzaliwa.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 7:1
23 Iomraidhean Croise  

Kule kwa wafu waovu hawasumbui mutu, kule wanaochoka wanapumzika.


Ni kama mafuta mazuri yanayotiririka juu ya kichwa, mpaka kwenye ndevu za Haruni, mpaka juu ya upindo wa nguo yake kwenye shingo.


Uso wenye kuangaa unafurahisha moyo. Habari njema inarudishia mwili nguvu.


Afazali kuwa na sifa nzuri kuliko mali mengi. Kupata kukubaliwa ni bora kuliko feza au zahabu.


watu wanaokusikia wasikuzarau, nawe usijiharibishie heshima kwa siku zote.


Mafuta na marasi vinafurahisha moyo, vilevile utamu wa urafiki kuliko kujitoshelea mwenyewe.


Mainzi waliokufa wanaharibu na kunukisha marasi; upumbafu kidogo unapoteza hekima na heshima.


Basi, nikafikiri ndani ya moyo kwamba heri wafu waliokwisha kufa kuliko watu wanaokuwa wazima.


Mwisho wa jambo ni afazali kuliko mwanzo wake. Moyo muvumilivu ni bora kuliko moyo wa majivuno.


Manukato yako yananuka vizuri, na jina lako ni kama marasi yenye harufu nzuri. Kwa hiyo wabinti wote wanakupenda!


Dada yangu, muchumba wangu; mapendo yako yananivuta ajabu. Ni bora kuliko divai, marasi yako yananuka vizuri kuliko viungo vyote.


nitamupatia nafasi ya ukumbusho na ya sifa katika nyumba yangu na kuta zangu, nafasi bora kuliko kuwa na wana na wabinti. Nitamupatia jina la kukumbukwa siku zote na ambalo halitafutwa hata kidogo.


Basi, sasa ee Yawe, ninakusihi uniondoe uzima wangu, maana ni vizuri kwangu kufa kuliko kuishi.


Hata hivi musifurahi kwa sababu pepo wanawatii, lakini mufurahi kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.”


Wakati Yesu na wanafunzi wake walipokuwa wakikula chakula cha magaribi, Shetani alikuwa amekwisha kumushawishi Yuda mwana wa Simoni Iskariota kwamba amutoe Yesu.


Kwa maana, tunajua kwamba hema hii tunayoishi ndani yake hapa katika dunia, maana yake mwili wetu, itakapobomolewa, Mungu atatupatia makao mengine mbinguni. Nayo ni nyumba aliyoijenga yeye mwenyewe na inayodumu milele.


Sisi tuna uhodari na tungependa zaidi kutoka katika mwili huu na kwenda kuishi pamoja na Bwana.


Ni kwa sababu ya imani yao babu zetu wameshuhudiwa vizuri na Mungu.


Watu hawa wote walishuhudiwa vizuri na Mungu kwamba wamemupendeza kwa njia ya imani yao. Lakini hawakupokea mambo yale Mungu aliyowaahidia,


Tena nikasikia sauti kutoka mbinguni, ikisema: “Andika maneno haya: ‘Heri tangu sasa kwa watu wanaokufa wakimwamini Bwana!’ ” Naye Roho anasema: “Ndiyo, ni kweli. Watapumzika toka katika masumbuko yao, kwa maana matendo yao yatafuatana nao.”


Basi Ruta akalala pale kwenye miguu yake mpaka asubui, lakini akaamuka asubui mapema kusudi asionekane, kwa sababu Boazi hakutaka mutu ajue kwamba Ruta alikuwa kwenye kiwanja cha kupepetea.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan