Muhubiri 6:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Mutu akiweza kuzaa watoto mia moja, na akiishi maisha marefu, lakini kama mutu huyo hafurahii maisha yake, wala hafanyiwi mazishi, basi ninasema mutoto aliyezaliwa amekufa ni afazali kuliko mutu yule. Faic an caibideil |