Muhubiri 6:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Mungu anamujalia mutu utajiri, mali na heshima, hata hakosewi kitu chochote anachotamani, lakini hamupi uwezo wa kuvifurahia vitu hivyo. Pahali pake, mugeni fulani atavifaidia. Hayo nayo ni bure. Ni jambo la mateso mabaya. Faic an caibideil |