Muhubiri 6:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Nani anayejua yanayofaa kwa mutu katika maisha haya mafupi yasiyokuwa na faida, maisha ambayo yanapita kama kivuli? Nani anayejua yale yatakayotukia chini ya jua nyuma ya kufa kwake? Faic an caibideil |