ninakupa hekima na maarifa. Vilevile, nitakupa utajiri, mali na heshima zaidi ya mufalme mwingine yeyote aliyekuwa mbele yako na mufalme mwingine yeyote atakayetawala nyuma yako.”
Mungu anamujalia mutu utajiri, mali na heshima, hata hakosewi kitu chochote anachotamani, lakini hamupi uwezo wa kuvifurahia vitu hivyo. Pahali pake, mugeni fulani atavifaidia. Hayo nayo ni bure. Ni jambo la mateso mabaya.