Muhubiri 5:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200218 Kama Mungu anamupa mutu utajiri na mali na kumujalia wakati wa kuyafurahia, basi mwanadamu ashukuru na avifaidie hivyo alivyojipatia kwa jasho lake. Hiyo ni zawadi kutoka kwa Mungu. Faic an caibideil |