Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 5:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Hili nalo ni jambo baya sana. Atarudi kama vile alivyokuja. Amepata faida gani? Ametoa jasho kwa kukamata upepo.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 5:15
7 Iomraidhean Croise  

akisema: Nilikuja uchi katika dunia, nitaondoka uchi katika dunia. Yawe amenipa, Yawe ametwaa. Jina la Yawe litukuzwe.


Mwenye hekima anajibu bila kufikiri na kujaa maneno ya burebure?


Usihangaike ukiona mutu anatajirika, wala mali yake ikiongezeka zaidi na zaidi.


Kama vile mwanadamu alivyokuja katika dunia akiwa uchi toka katika tumbo la mama yake, ndivyo atakavyorudi uchi kule alikotoka. Hataweza kupeleka hata sehemu ndogo ya mapato ya kazi yake.


Watu wa Efuraimu wanachunga upepo, muchana kutwa wanafukuza upepo wa mashariki. Wanazidisha uongo na mateso, wanafanya mapatano na Asuria na kupeleka mafuta Misri.


Lakini Mungu akamwambia: ‘Mupumbafu wewe! Leo leo usiku utakufa. Na sasa, vitu hivi vyote ulivyojitayarishia vitakuwa vya nani?’ ”


Kwa maana hatukuleta kitu katika dunia wala hatuwezi kurudia na kitu.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan