6 Ni afazali kuwa na kidogo tu, pamoja na amani ndani ya moyo, kuliko kutoa jasho kwa ajili ya kukamata upepo.
Afazali mali kidogo ya mutu wa haki kuliko utajiri mwingi wa watu waovu.
Afazali mali kidogo kwa njia ya haki, kuliko mapato mengi kwa njia isiyofuatana na sheria ya Mungu.
Afazali kula mukate wenye kukauka kwa amani kuliko karamu katika nyumba ya ugomvi.
Nimeyaona mambo yote yanayofanywa chini ya jua. Yote ni bure sawa na kutaka kukamata upepo!
Nilifanya bidii kujua umbalimbali kati ya hekima, wazimu na upumbafu. Lakini niligundua kwamba kufanya hivyo ni sawa na kutaka kukamata upepo.
Tena, niliona jambo moja la bure chini ya jua.