Muhubiri 4:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200217 Ukuwe mwangalifu unapokwenda katika nyumba ya Mungu na ukaribie kwa kusikiliza kwa uangalifu, kuliko kutoa sadaka kama vile wapumbafu wanavyofanya, watu wasiojua kwamba wanafanya mabaya. Faic an caibideil |