Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 4:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

14 hata ikiwa alikuwa mufungwa na sasa ni mufalme, au alizaliwa masikini na sasa ni mufalme.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 4:14
15 Iomraidhean Croise  

Basi, mufalme akaamuru Yosefu aitwe; naye akaondolewa katika kifungo haraka. Kisha kunyoa na kubadilisha nguo zake, Yosefu akakuja mbele yake.


na Yoyakini mufalme wa Yuda alijitoa kwa mufalme wa Babeli, yeye mwenyewe pamoja na mama yake, watumishi wake, wakubwa na majemadari wake. Mufalme wa Babeli aliwapeleka kama wafungwa katika mwaka wa nane wa kutawala kwake.


Yoyakimu akakufa, na mwana wake Yoyakini akatawala kwa pahali pake.


Halafu wakawaua wana wa Zedekia mbele yake, kisha wakamwongoa macho yake. Kwa mwisho wakamufunga kwa minyororo, wakamupeleka Babeli.


Anainua juu wanaokuwa zaifu; wenye kuomboleza anawapa usalama.


Niliwaona watu wote wanaoishi chini ya jua wakishikamana na yule kijana ambaye angekamata nafasi ya mufalme.


Walimunasa yule ambaye maisha yetu yalimutegemea, yule mufalme aliyechaguliwa na Yawe yule ambaye tulisema juu yake: Chini ya ulinzi wake tutaishi kati ya mataifa.


Kwa mwisho wa ile miaka saba, mimi Nebukadneza niliinua macho yangu kuangalia juu mbinguni na akili zangu zikanirudilia. Nilimushukuru Mungu Mukubwa na kumuheshimu yeye anayeishi milele: Kwa sababu mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ufalme wake unadumu kwa vizazi vyote.


Anawainua wazaifu toka katika mavumbi, anawanyanyua wakosefu toka katika majivu, na kuwaikalisha pamoja na wakubwa, na kuwarizisha viti vya heshima. Maana, minara ya dunia ni ya Yawe; yeye ameisimika dunia juu ya minara yake.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan