Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 4:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Mutu akiwa peke yake anaweza kushindwa na adui, lakini wakiwa wawili watashinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki upesi.

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 4:12
8 Iomraidhean Croise  

Wale mashujaa wake watatu walitoka, wakapenya katikati ya kambi ya kundi la waaskari wa Wafilistini, wakaenda na kuchota maji katika kisima cha Betelehemu, karibu na mulango wa muji, wakamuletea Daudi. Lakini Daudi alikataa kuyakunywa, na pahali pa kuyakunywa, akayamwanga chini kama vile sadaka kwa Yawe,


Akakuwa na heshima pamoja na wale mashujaa makumi tatu, ingawa hakukuwa kama wale mashujaa watatu. Na Daudi akamupa cheo cha mukubwa wa waaskari walinzi wake.


Halafu aliyefuata kati ya wale mashujaa watatu alikuwa Eleazari mwana wa Dodayi, wa ukoo wa Muahoa. Siku moja, Eleazari alikuwa pamoja na Daudi walipowatukana Wafilistini waliokuwa wamekusanyika kwa kupigana vita. Waisraeli waliwakimbia Wafilistini.


Vilevile watu wawili wakilala pamoja watapata joto. Lakini mutu akiwa peke yake atajipatia joto namna gani?


Afazali kijana masikini mwenye hekima kuliko mufalme muzee mupumbafu, ambaye hasikilizi shauri jema,


Mujikaze sana kuchunga umoja wa Roho, kwa amani inayowaunganisha.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan