11 Vilevile watu wawili wakilala pamoja watapata joto. Lakini mutu akiwa peke yake atajipatia joto namna gani?
Na mumoja akianguka, huyo mwenzake atamusimamisha. Lakini ole wake mutu anayekuwa peke yake akianguka! Huyo hatakuwa na mutu wa kumusimamisha!
Mutu akiwa peke yake anaweza kushindwa na adui, lakini wakiwa wawili watashinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki upesi.