Biblia Todo Logo
Bìoball air-loidhne

- Sanasan -




Muhubiri 4:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Na mumoja akianguka, huyo mwenzake atamusimamisha. Lakini ole wake mutu anayekuwa peke yake akianguka! Huyo hatakuwa na mutu wa kumusimamisha!

Faic an caibideil Dèan lethbhreac




Muhubiri 4:10
17 Iomraidhean Croise  

Kisha Kaina akasemezana na ndugu yake Abeli. Basi, walipokuwa katika shamba, Kaina akamushambulia ndugu yake Abeli, akamwua.


Muda wa kufunga kilio ulipokwisha, Daudi aliagiza wamulete Batiseba na kumupeleka katika nyumba yake. Batiseba akakuwa muke wa Daudi, naye akamuzalia Daudi mutoto mwanaume. Lakini jambo hilo Daudi alilofanya lilimuchukiza Yawe.


Nilikuwa na watoto wanaume wawili. Siku moja, walipokuwa katika mbuga, walianza kugombana. Kwa vile hakukukuwa mutu yeyote wa kuwaamua, mumoja wao akamwua mwenzake.


Musa akamwuliza Haruni: Walikufanya nini watu hawa hata ukawaingiza katika zambi kubwa hivyo?


Vilevile watu wawili wakilala pamoja watapata joto. Lakini mutu akiwa peke yake atajipatia joto namna gani?


Ni afazali kuwa wawili kuliko mutu kuwa peke yake. Kwa sababu wawili watapata matunda ya jasho yao.


Wandugu zangu, kama mutu akipatikana na kosa fulani, ninyi munaoongozwa na Roho wa Mungu mumwonye mutu yule kwa roho ya upole. Na kila mumoja wenu ajiangalie mwenyewe, kusudi asijaribiwe vilevile.


Basi ninyi mufarijiane kwa maneno haya.


Basi mufarijiane na kujengana imani, kama vile munavyozoea kufanya.


Yonatani mwana wa Saulo akamufuata Daudi kule Horeshi, akamutia moyo kwamba Mungu anamulinda.


Lean sinn:

Sanasan


Sanasan